Tuesday, May 31, 2011

FFU WATAWANYA WANAFUNZI SEKONDARI YA TOSAMAGANGA WALIOKUWA WAKIANDAMANA


 Wanafunzi wa shule ya Sekondari TOsamaganga wilaya ya Iringa wakiandamana kwenda kwa mkuu wa mkoa wa Iringa jana kabla ya kutawanywa kwa mabomu na FFU.


 Wanafunzi wakinyosha mikono juu mbele ya askari wa FFU kuomba wasipigwe mabomu wakati wakijaribu kuandamana bila mafanikio kwenda kwa mkuu wa mkoa wa Iringa.

FFU wakiwazuia wanafunzi wa shule ya sekondari Tosamaganga kuendelea kuandamana bila kibali kwenda kwa mkuu wa mkoa wa Iringa
 
Mwanahabari wa kituo cha Radio Ebony Fm Mark Dolnard akikimbia porini kukwepa kupigwa mabomu na wanafunzi baada ya polisi kuwafukuza waandishi wa habari kuripoti habari za mgomo wa wanafunzi wa shule ya sekondari Tosamaganga (picha zote na Francis Godwin)

Na Francis Godwin, Iringa

HALI ya usalama kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Tosamaganga wilayani Iringa mkoani hapa leo ilikuwa tete baada ya askari wa kikosi cha kutuliza ghasia kulazimika kutumia mabomu ya machozi kwa lengo la kuwatawanya wanafunzi zaidi ya 1000 wa shule hiyo ambao walikuwa katika maandamano ya amani kuelekea ofisi za mkuu wa mkoa wa Iringa kuwasilisha malalamiko yao dhidi ya uongozi wa shule hiyo.
Pamoja na askari hao kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi hao kama njia ya kuwazuia wasiandamane bado waandishi wa habari waliokuwepo eneo hilo wakichukua madai ya wanafunzi hao walizuiwa na polisi hao kuendelea kuchukua habari za wanafunzi hao pasipo kibali cha polisi huku wananchi wa maeneo ya Mseke wakizihama nyumba zao kwa muda na kukimbilia porini kukwepa mabomu hayo.
Tukio la mapambano kati ya FFU na wanafunzi hao lilianza majira ya saa 4 asubuhi hadi saa 6 mchana kwa polisi kufukuzana na wanafunzi hao kuwarudisha kwa mabomu shuleni pasipo mafanikio baada ya idadi kubwa ya wanafunzi kukimbilia porini na wengi wao kujificha porini na katika nyumba za wenyeji wa maeneo hayo.
Kabla ya polisi kufika na kuwatawanya wanafunzi hao waliwaeleza waandishi wa habari kuwa sababu ya wao kufanya mgomo wa kutoingia madarasani na kutaka kuandamana kwenda kwa mkuu wa mkoa wa Iringa umetokana na uongozi mbovu wa shule hiyo usiozingatia haki za binadamu.
Waliyataka madai hayo yao kuwa ni pamoja na mfumo wa ufundishaji kutofuata taratibu na kanuni za ualimu ,pia ukosefu wa vitendea kazi kama madawati na vitabu , makamu mkuu wa shule hiyo amekuwa akitumia nafasi hiyo kujinufaisha binafasi badala ya kusaidia kukuza kiwango cha elimu na kuwa amekuwa akidhalilisha wanafunzi kwa kuwapekua simu hadharani hadi kanisani .
Waliwataja walimu wengine zaidi ya 6 wakiwemo wa kike (majina tunayo) ambao wamekuwa wakiwadharirisha kwa kuwapekua sehemu za siri hadharani na kupokonya simu zao kwa faida yao .

Aidha walidai kuwa chakula wanacholishwa shuleni hapo hakina ubora kama wanaoelezwa wazazi huku wakimtaka mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa kutolea ufafanuzi juu ya bajeti inayotengwa shule hiyo kwa ajili ya chakula.
Madai mengine ambayo wanafunzi hao wanapinga ni pamoja na ubadhilifu wa mali za shule pamoja na fedha zinazochangwa na wanafunzi hao .

Walisema kuwa mfano wamekuwa wakichanga rim mbili kwa mwaka rimu zenye thamani ya shilingi 8500 kila moja ila matokeo yake uongozi wa shule hiyo umekuwa ukiziuza rim hizo kwa wafanyabiashara na kununua rim za shilingi 3500 zisizo na ubora kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi hao.

Hata hivyo walipinga matumizi mabaya ya fedha za shule hiyo yanayofanywa na mwasibu na kuwa wana kama wanafunzi wanataka uongozi wa shule hiyo kuweka wazi matumizi ya michango yao mbali mbali ambayo wamekuwa wakichangia .

“Tunatoa pia kujua kuhusu Fund ya wasomi waliosoma hapa Tosamaganga inatumikeje na leo tunaiomba wizara ya elimu ,mkuu wa mkoa wa Iringa ,mkuu wa wilaya ,mkurugenzi na afisa elimu kufika shuleni hapa na kuja kusikia kilio chetu wanafunzi”

Mwandishi wa habari hizi alishuhudia askari polisi hao wakiongozwa na mkuu wa polisi wilaya ya Iringa (OCD) wakikabiliana na wanafunzi .
Hata hivyo kamanda wa polisi wa mkoa wa Iringa Evarist Mangalla alipopigiwa simu na mwandishi wa habari hizi aligoma kutoa ushirikiano wowote kwa madai kuwa vyombo vya habari vimeripoti sivyo habari za kutekwa magari juu milima ya Kitonga.Mkuu wa shule hiyo hakuweza kupatikana kuzungumzia madai ya wanafunzi hao kutokana na vikao mbali mbali na vyombo vya dola ambavyo vilikuwa vikiendelea shuleni hapo.

Friday, May 27, 2011

DID YOU KNOW?



  • Barcelona have contested six finals, winning three and losing three. However, the Spanish champions have won their last two, both against English opposition, beating Arsenal in 2006 and Manchester United in 2009.
  • The club’s first European Cup triumph was at Wembley in 1992 when they overcame Sampdoria 1-0. Manager Pep Guardiola, then just 21, featured in the match for the Catalans.
  • Lionel Messi has 11 goals in 12 European appearances this season and one more will see him equal Ruud van Nistelrooy’s record for goals in a Champions League season with 12.
  • If he plays, defender Carles Puyol (pictured right) will be making his 101st Champions League appearance for the Spanish champions.
  • Barcelona have played Manchester United on 11 occasions but have only beaten the English side three times. Interestingly, neither team has ever won consecutive games against each other, something the Catalans will hope to amend having won the last meeting in 2009.
  • Manchester United boss Sir Alex Ferguson is chasing a hat-trick of Champions League wins and should he claim the European Cup for a third time on Saturday he will equal Bob Paisley’s record with Liverpool.
  • Edwin van der Sar will retire after the final but if United win he will become the oldest player to claim the Champions League, beating Paolo Maldini’s current record. The Italian was 38 years and 332 days when AC Milan beat Liverpool in 2007.
  • Like Barcelona, the first of Manchester United’s European Cup wins came at Wembley, back in 1968. The Red Devils beat Benfica 4-1, scoring three in extra-time with Bobby Charlton, George Best and Brian Kidd all on the scoresheet.
  • The Premier League champions have not conceded a goal away from home in the Champions League all season and have let in just four goals throughout the entire tournament.
  • Manchester United have played at the new Wembley nine times, winning five and losing four. Their last visit ended in disappointment when they were beaten 1-0 by rivals Manchester City in the FA Cup semi-final last month.

They're crazy about Falcao! Arsenal and Spurs in race to sign £26m Porto striker 


A representative of Radamel Falcao claims that Tottenham and Arsenal are willing to meet the £26million release clause in the Porto striker's contract.
Falcao has been a key part of the Porto side that has completed a remarkable quadruple under the stewardship of managerial sensation Andre Villas-Boas this year.
In demand: Both Arsenal and Spurs are interested in the Porto striker
In demand: Both Arsenal and Spurs are interested in the Porto striker
The Colombian netted 16 times in Porto's victorious league campaign and also scored 17 goals in this year's Europa League to break Jurgen Klinsmann's 15-year-old record for most goals in one season of Europe's second biggest club competition.
Porto are negotiating a new deal with the 25-year-old after admitting that the release clause in his current contract could be met by one of Europe's biggest clubs.
Spurs and Arsenal are thought to be on the lookout for strikers this summer and Claudio Mossi, an agent from the Sivori & Asociados group that represents Falcao, claims the two north London sides are very keen on the frontman.
Heads, you win: Falcao netted a superb winner in the Europa League triumph over Braga
Heads, you win: Falcao netted a superb winner in the Europa League triumph over Braga
'England are crazy about Falcao,' Mossi told Maisfutebol. 'Among the leading candidates are Arsenal and Tottenham. They are willing to hit the 30 million (euros) clause.
'The figure is not an extraordinary value for them.' Falcao spoke of his intention to stay at the Estadio do Dragao after scoring the winner in last week's Europa League final win over Braga.
The former River Plate man said he wanted to remain with the Portuguese champions to play Champions League football under Villas-Boas, and Mossi added that staying with Porto is an option.
'He is very happy at Porto,' Mossi said. 'There he can play the Champions next year. The problem is that every day he is linked with other clubs.
'It is important that he is left alone for a time with his family now to decide.'